Posts

Showing posts from July, 2019

TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA WIZARA YA AFYA

Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR - TAMISEMI) imepata kibali cha ajira mbadala chenye Kumb Na. FA 97/128/01/”A’’/31 cha tarehe 12 Julai 2019 kwa ajili ya kuajiri watumishi 550 wa kada mbalimbali za afya. Hivyo, Ofisi ya Rais, TAMISEMI inapenda kuwatangazia wahitimu wote wa kada za Afya nchini kuwasilisha maombi ya nafasi za kazi, kuanzia leo tarehe 22/07/2019 ili kujaza nafasi mbalimbali za Kada ya Afya katika Hospitali za Wilaya, Vituo vya Afya na Zahanati. Nafasi zinazotangazwa ni zifuatazo:-  1. Daktari Daraja la II Waombaji wawe na Shahada ya Udaktari wa binadamu kutoka Vyuo Vikuu/Vyuo vinavyotambuliwa na Serikali waliomaliza mafunzo ya kazi “Internship” ya muda usiopungua mwaka mmoja na kupata usajili kutoka Baraza la Madaktari Tanganyika (Medical Council of Tanganyika).  2. Tabibu Daraja la II Waombaji wawe na Stashahada (Diploma) ya Utabibu ya muda wa miaka mitatu kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali.  3. Tabibu Msaidizi Waombaji wawe wam

NAKALA YA KITAMBULISHO CHA TAIFA (ID COPY)

NIDA inatoa vitambulisho vya aina tatu, ambavyo ni kitambulisho cha raia, kitambulisho cha mgeni mkaazi, na kitambulisho cha mkimbizi. Mahitaji yake: Cheti cha kuzaliwa Cheti za elimu ya msingi, Pasi ya kusafiria ( Pasipoti ) Cheti cha elimu ya sekondari ( kidato cha iv na vi ) leseni ya udereva Kadi ya bima ya afya Kadi ya mfuko wa hifadhi ya jamii Kadi ya mpiga kura Nambari ya mlipa kodi ( Tin. No ) Kitambulisho cha mzanzibar mkazi Barua kutoka kwa Mwenyekiti wa serikali ya mtaa CLICK HERE https://services.nida.go.tz/nidportal/NID_Copy.aspx