Posts

Showing posts from October, 2017

JE, UGONJWA WA KIFUA KIKUU HUSABABISHWA NA NINI?

Image
Ugonjwa wa kifua kikuu ni kati ya magonjwa matatu yanayotokea sana kwa watu masikini duniani ( Disease of poverty ). Magonjwa mengine katika jamii ya  disease of   poverty  ni malaria na Ukimwi ( AIDS ). Ugonjwa wa kifua kikuu huathiri asilimia 98 ya watu katika nchi zinazoendelea, ukimwi asilimia 95 na malaria asilimia 90. Magonjwa haya matatu husababisha vifo asilimia 10 ya idadi ya watu wote duniani kwa ujumla, ambapo inakisiwa watu wote duniani ni 6.91 bilioni kulingana na kituo cha kuhesabu watu cha Marekani (  US Census Bureau ). Kwa Tanzania, watu 120,191 hukisiwa kuwa na ugonjwa wa kifua kikuu kila mwaka, hii ni kutokana na taarifa ya shirika la USAID ya mwaka 2007. Kati ya watu hawa (120,191), 56,233 ni wale wanaogundulika kuwa na ugonjwa huu kupitia makohozi yaani  sputum smear positive  (SS +  ). Vifo vinavyotokana na ugonjwa wa kifua kikuu ni 32,000 kila mwaka nchini Tanzania. Tanzania ni ya 15 kati ya nchi 22 ambazo zimeathiri

VYAKULA VYA KUPAMBANA NA MARADHI YA MAFUA

Image
Mafua    ni    ugonjwa    unao sumbua    watu    kila    mwaka, hasa   yanayo    anza    kutokea    mabadiliko    ya    hali    ya    hewa    kutoka   msimu wa    kiangazi    kuingia    masika. Ili  kujikinga  na  ugonjwa  wa  mafua  ni  lazima  mwili uwe  na  kinga  ya  kutosha. Orodha  ya  vyakula  vifuatavyo  vimeelezwa  kuwa  na  uwezo  mkubwa  wa  kuimarisha  kinga  ya  mwili na  kupambana  na  maambukizi  mengine  kwa  kuwa  na  kiasi  kikubwa  cha  protini  na  virutubisho  vingine.                                 SUPU  YA  KUKU Supu ya  kuku  wa  kienyeji  inaelezwa  kuwa  na  virutubisho  vinavyo  saidia  kupunguza  utokaji  wa  makamasi.  Supu  ya  kuku Utapata  virutubisho  vingi  zaidi  ukitengeneza  supu  ya  kuku  kwa  kuchanganya  na  mboga  za  majani. Weka  chumvi  kiasi  kidogo  katika  supu  hiyo.                            VITUNGUU  SAUMU Vitunguu  saumu  vina  kirutubisho  aina  ya  ‘ allicin’  ambacho  kina  uwezo  wa  ku

NATURAL HOME REMEDIES FOR LUPUS

Image
There are many effective Natural home remedies for lupus, including utilizing probiotics, turmeric, vitamin D, ginger, omega-3 fatty acids, apple cider vinegar, lemon juice, olive oil, sauerkraut, coconut oil, basil, and Epsom salts, as well as behavioral remedies like reducing alcohol, exercise, massage, and lowering stress levels. Lupus One of the most mysterious autoimmune diseases that afflicts human beings is lupus, formally known as Lupus erythematosus, and is characterized by the body’s own immune system attacking healthy tissues and cells of the body. Roughly 5 million people are affected by lupus worldwide, and there is no known cure, merely treatments consisting of immunosuppressant drugs to keep the body from attacking itself. This weakens the immune system, however, making it overly susceptible to many other forms of illnesses. The cause is primarily polymorphisms of genes, and dozens have been linked to the disease in one way or another. Genetics seems to play

USHAURI MUHIMU UKIWA UKO PEKE YAKO NJIANI NA UMEPATWA NA SHAMBULIO LA MOYO (HEART ATTACK) CHUKUWA TAHADHARI.

Image
USHAURI MUHIMU UKIWA UKO PEKE YAKO NJIANI NA UMEPATWA NA SHAMBULIA LA MOYO (HEART ATTACK) CHUKUWA TAHADHARI. 1. Chukulia ni muda wa saa 1:25 usiku unarudi nyumbani peke yako, baada ya kazi ngumu zisizo za kawaida ofisini. 2. Umechoka sana, una hasira na umechanganikiwa. 3. Ghafla unajisikia maumivu makali kifuani yanaelekea mkononi na hata kwenye Taya. Upo umbali wa kama km5 tu kufika Hospitali iliyo karibu na kwako. 4. Bahati mbaya hujui kama utaweza kufika kwa unavyojisikia. 5. Ulishafundishwa kumfanyia mtu CPR, lkn aliyekufundisha hakuwaambia unaweza kujifanyia mwenyewe. 6. JINSI YA KIJUSAIDIA UNAPOPATWA NA SHAMBULIO LA MOYO UKIWA PEKE YAKO. Kwa kuwa watu wengi hupatwa na Shambulio la Moyo wakiwa peke yao bila msaada wowote, mtu ambaye mapigo yake ya Moyo hayako sawa na anaanza kuhisi kuzimia, au zimebaki sekunde 10 tu kabla hajapoteza fahamu. 7. Hata hivyo, waathirika hawa wanaweza kujisaidia kwa kujikoholesha mfululizo. Avute pumzi ndefu kila unapo j