FAHAMU TIBA ZA MAGONJWA YA MACHO


1. CONJUCTIVITIS/ Maumivu na kuvimba eneo la jicho
DAWA: Kula Apricot kiasi kila siku
-kula karoti sita kwa kutafuna bila kuongeza kitu chochote tafuna bila kutoa maganda yake
-ongeza kula vyakula vyenye vitamin B kama nafaka zisizo kobolewa,viazi,ndizi,maharage nk.
2.CATARACTS/Utando mweupe juu ya jicho unaozuia kuona
-Ongeza kula karoti kwa idadi ya sita kila siku (unaweza kuaanda juisi au kwa kutafuna)
-Ongeza Kula mboga za majani na matunda
-ongeza kutunia/kula mafuta ya karanga,ngano,maharage ya sosa.
PUNGUZA/ ACHA KABISA
-KULA SAMLI YA MAZIWA
-KULA CHUMVI
-MAFUTA YA MWILI( fanya mazoezi)
3.night blindness/kuto ona usiku
-Kula karoti ,kwa juis glasi moja kila siku. AU kwakutafuna 6 kwa siku.
ongeza kula APRICOT
Pia kula maembe kila siku.
4 GLAUCOMA/ Kupoteza uwezo wa kuona.
ugonjwa huu unasababishwa na kuongezeka kwa majimaji katika eneo la jicho.
MATIBABU:
Ongeza kula karoti kwa wingi.
pia kula machungwa kwa wingi kila siku.
kula mahindi/ ugali usio kobolewa.
PUNGUZA/ ACHA KABISA
Matumizi ya kahawa
vyakula vya protini hasa kutoka kwa wanyama .

Comments

Popular posts from this blog

FAIDA ZIPATIKANAZO KWA KUTUMIA TUNGUJA PORI,NYANYA ZA MSHUMAA/CHUNGU/NGOGWE KIAFYA.

DALILI YA KUZIDI ASIDI MWILINI YOUR BODY IS ACIDIC HERE IS WHAT YOU NEED TO DO (THE REAL TRUTH BEHIND CANCER)

FAIDA YA MBOGA YA MCHICHA NI DAWA YA KUTIBU MARADHI MENGI TU UKITUMIA.