Wengi tumekuwa tukitumia kama mboga au kiungo kimoja wapo katika kunogesha mboga lakini wachache mno wanaojua faida za nyanya chungu kiafya. Pamoja na kufanya mboga kuwa na ladha na harufu ya aina yake, nyanya chungu zina kazi kubwa katika mwili wa binadamu ikiwa ni pamoja na kujenga na kuimarisha afya ya mlaji. Nyanya chungu ipo kwenye kundi la mbogamboga zenye virutubisho vingi ikiwemo vitamin A, B, na C ambazo zote kwa pamoja hufanya kazi ya kuobresha afya ya mwili kwa ujumla. Nyanya chungu pia husaidia kuimarisha kinga ya mwilli na kumsaidia mlaji kuepukana na magonjwa ya mara kwa mara. Hizi pia ni kinga iayoweza kumwepusha mlaji kupata maradhi ya moyo. Kwa wagonjwa wa kisukari nyanya chungu pia ni dawa inayoweza kusaidia katika kupunguza kiwango cha sukari ndani ya mwili. Vitamin K inayopatikana ndani ya nyanya chungu inasaidia kuipa nguvu mishipa ya damu hivyo kusaidia zoezi zima la mzunguko wa damu katika mwili wa binadamu. Licha ya kuwa karibu asilimia ...
J AMHU R I YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA R AIS - TAMISEMI TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA ZA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI, FEBRUARI 2019 Ofisi ya Rais - TAMISEMI inapenda kuutangazia Umma kuwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa John Pombe Joseph Magufuli, anaendelea na kuongeza idadi ya watumishi katika Sekta ya Umma kwa kutoa nafasi nyingine za ajira kwa vijana wa Kitanzania katika Sekta ya Elimu. Mchakato huu wa sasa wa ajira utahusisha ajira mpya za watumishi 4549. Ajira hizi zitahusisha walimu wa Shule za Msingi na Sekondari. Kwa sababu hiyo, OR-TAMISEMI inawatangazia walimu wenye sifa kutuma maombi yao kwa njia ya mtandao kupitia kiunganishi cha http://ajira.tamisemi.go.tz ( Online Teacher Employment Application System – OTEAS). Walimu wanaotakiwa kutuma maombi ni wenye sifa za kitaaluma kama ifuatavyo: A. ...
leo tunaendelea kufafanua faida zake hasa kwa nywele za binadamu. Jambo muhimu la kuzingatia wakati wa usiku ni muda wa kumaliza kula na kunywa juisi hiyo. Hakikisha unakunywa juisi yako angalau masaa mawili baada ya kula chakula chako cha mwisho jioni. Kama tatizo lako ni kubwa, kunywa juisi hii asubuhi na jioni hadi utakapoona tatizo la kutoka damu wakati wa kujisaidia limetoweka.Kwa kawaida tatizo huweza kutoweka ndani ya siku tatu au saba tu. Lakini tatizo lako kama ni sugu, unaweza kutumia kwa muda mrefu kidogo, lakini bila shaka litaisha. Watu wengi wametumia tiba hii rahisi kuondoa tatizo hilo bila kulazimika kufanyiwa upasuaji. TAHADHARI Kiasi unachotakiwa kunywa kwa mara moja kisizidi glasi moja ndogo. Utakapokunywa kwa mara ya kwanza utajisikia vibaya na kichefuchefu, hali hiyo ni ya kawaida, jikaze na baada ya muda utajisikia vizuri. Inashauriwa usinywe ukiwa umekunywa pombe au ukiwa ulilala na pombe kichwani, kwani lazima utatapika. Dozi hii ni kw...
Comments
Post a Comment